Vianey Bisimwa: Kuahirisha Tamasha Amani mjini Goma ni ishara ya kuomba amani.

Kama ilivyopangwa kufanyika kuanzia tarehe kumi na sita hadi kumi na nane Februari mwaka tunao huko Goma, toleo la kumi la tamasha la Amani limeahirishwa hadi mwezi Juni ijayo. Ripoti inayohusiana na hali ya usalama karibu na Goma. Kulingana na mkuu wa tume ya mahusiano ya kimkakati ya Tamasha la Amani, uamuzi huu wa kuahirisha haukuwa rahisi kufanywa. Kulingana na Vianney Bisimwa, kuahirishwa huku kunaonyesha wazi hitaji la amani kwa eneo hili. Alipokelewa na Rosalie Zawadi.

/sites/default/files/2024-02/130224-p-s-invitegomarepportfestivalamani-00-web_0.mp3