- Kinshasa:korti ya kikatiba ilitangaza matokeo ya baruwa ya wagombea waliekataliwa kwa kiti cha uraisi na Ceni
- Kinshasa:mjibu ya mhamzi wazamani wa korti ya kikatiba
- Kinshasa:Ceni anatangaza fomu kwa mda ya wapika kura
- Goma:Kuhusu swala la wamemba wa Lucha walietiwa nguvuni jana
- Lubumbashi:Mjibu ya polisi ya jimbo la Haut Katanga kiisha mvutano ku muisho ya juma jana
- Beni:Shambulizi la wa EDF kijijini Ngadi jana jioni
- Kisangani:hakuna kurudilia masomo katika mashule kumi na nnane mtaani Ango sababu ya vitisho ya LRA
- Beni:ombi la viongozi ya mkoo w'asili ya Benikwa serkali ajili ya malipo ya masomo ya watoto mu miezi mitatu ya mwanzo ya masomo
- Mbandaka:uongozo wa mkoo ya Mbandaka una dai malipo ya walimu wote/sites/default/files/2018-09/04092018-a-s-journalswahilimidi-00.mp3