- Kinshasa:Tangazo la shauri la muungano ya makanisa kuhusu kazi za uchaguzi
- Kinshasa :kikao cha mashirika za umoja wa mataifaa
- Kisangani:Kikao cha Lucha kuelekea hali ya kisiasa inchini
- Lubumbashi:muungano washiriki wa Emmanuel Shadari unaalika vijana wajichukulie kazi ya uchaguzi
- Matadi:shirika la raia ya Kongo centralelina katala wagombea wa kiti cha uraisi ambawo ni viongozi ya zamani ya kundi za silhaa,wala pya wenye walipora mali ya nchi
- Bunia:mahusiano kati ya serkali na wassi wa FRPI
- Bunia:hali kutambulikana kwa jumla katika eneo ilo na usumbufu ya wasi wa FRPI
- Beni:Hotuba ya shirika la raia kuhusu ugonjwa kwa virusi y'Ebola mbele ya kufungliwa kwa mashule inchini
- Kananga :askari polis mmoja anashutumiwa kubaka msichana ./sites/default/files/2018-08/22082018-a-s-journalswahilisoir-00.mp3