- Kinshasa:Amri ajili ya Jean Pierre Bemba
- Kinshasa:mjibu ya MLC kupitia Jacques Ndjoli
- kinshasa:mjibu wa mpelelezi ya kisiasa Joseph Kongolo
- Goma:kuuawa kwa kiongozi ya gereza ya Rutchuru pamoja na mkewe
- Bukavu:Mukurugenzi wa mtaa wa Mwenga ametiwa nguvuni anazaniwa kushiriki na wasi wenye kuangamiza mtaa wa mwenga na Walungu
- Uvira:Eneo la Kilembewe kina vahamiwa na muungano ya wasi wa Yakutumba na ule wa Sheik Hassan siku mbili sasa
- Bunia Matokeo ya shambulizi ya ngome la taifaa mtaani Bunia inaongezeka katika jimbo la Ituri /sites/default/files/2018-09/11092018-a-s-journalswahilisoir-00_0.mp3