- Kinshasa:Kikao na wapasha habari wa Kinshasa ya bi leila Zerougui mwenyezi wa Monusco
- Beni:muungano ya viongozi ya makanisa ya beni wana omba kuendeshwa doria ya pamoja Monusco na jeshi la taifaa kwa kulinda wakaji wa eneo ilo la jimbo la Nord Kivu
- Kananga:shirika la raia lina piga yowe , ajili ya msaada wa kiuutu kwa maelfu matano yawaliefukuzwa inchini Angola
- Kinshasa:jee kuhusu badgeti kunako ubunge wa taifaa
- Bukavu:Barabara kuenda kiwanja cha ndege ya kavumu ilikatika usika ya leo sababu ya mvua kali mjini Bukavu
- Goma:Kupewo kwa chumba cha masambo kwa wausika na sheria ya kijeshi mjini Goma katika jimbo la Nord Kivu./sites/default/files/2018-10/16102018-a-s-journalswahilisoir-00.mp3