- Kinshasa;mchezo ya kandanda kati ya timu ya Vita club na yale ya Almasri ya Msri
- Kinshasa: kikao cha upinzani ya wajamuhuri ya kidemocra cia ya Kongo mjini pretoria katika Africa ya kusini
- Goma:watu watano walifariki kufwatana na bukomvi kati ya watu wakumiliki silha na kazi za usalama jimboni Nord Kivu
- Bukavu :zaidi ya wakimbizi elfu makumi mbili na sita wamaanza kurejea makaoni katika usultani ya Bijombo humo jimbo la Sud Kivu
- Lubumbashi:magumu ya maisha kwa wakongomani walie fukuzwa inchini Angola pale Dilolo jimboni Lualaba
- Bunia:magari za vitambulisho ya Uganda zina fungwa tangu juma jana jimboni Ituri, na magari kumi na tau za wakongomani zilishikwa pya inchini Uganda
- Kinshasa :kIongozi ya shirika la Anapeco ana towa maoni yake kuhusu mizozo kati ya viongozi ya EPSP na FPMA
- /sites/default/files/2018-10/24102018-a-s-journalswahilisoir.mp3