- Kinshasa:maandamano ya upinzani mjni Kinshasa
- Kinshasa :idadi ya polisi ya taifaa iliongezwa mjini mkuu Kinshasa katika pembe nee za mji
- Bukavu:maandamano ilifanyika mjini Bukavu ,polisi ilsindikiza wandaamanaji kwa kufikisha baruwa ya masito kwenye Ceni jimboni
- Goma:mandamano bila tatizo
- Kisangani:maandamano ilikataliwa na meya wa mji wa Kisangani katika jimbo la Tshopo
- Lubumbashi:maandamano ilikatazwa
- Kinshasa;Msemaji wa ceni ana hakikisha kupokea baruwa ya mashito ya waandamanaji bila tatizo /sites/default/files/2018-10/26102018-a-s-journalswahilisoir.mp3