- Kinshasa:ziara ya pamoja katibu mkuu makamu wa umoja wa matifaa ausika na amani .
- Beni:shambulizi la ofisi ya ngome ya jeshi la taifaa la kazi za Sokola ya kwanza na wa mai mai katika jimbo la Nord Kivu
- Bunia:Shambulizi nyipya mtaani Djugu jimboni Ituri
- Kananga:Shirika la raia lina jishwali kuhusu kuzuka mara tena kwa vitendo mbaya na vijana wa mtaa wa Dibaya mtaani Dibataie jimboni ilo
- Goma:Shirika la haki za binadamu Cadhas lina omba warudishiwe haki yawo hawa wahangaz zaidi ya mia moja na makumi matano waliuawa pa Kiwanja mtaani Rutshuru katika jimbo la Nord Kivu /sites/default/files/2018-11/05112018-a-s-journalswahilisoir-00.mp3kumepita miaka kumi sasa
- Kinshasa :Csac ina pinga tabia ya kujitetea mapema bada ya uchaguzi , na ana haidia huenda kuhazibu nyumba za wapasha habari kusito heshimia agizo lake