- Kinshasa:hotuba ya upinzani kuhusu wakilishi ndani ya timu la kutetea ukandideti wa Emmanuel Shadari Ramazani
- Kinshasa:kufunguliwa kwa kikao cha amani na kusamehana leo mjini Kinshasa na Cime yani commission d'integrite et de mediation electorale
- Bukavu:Baruwa ya manunguniko ya wamemba wa shirika ICJP na NDSCI humo jimbo la Sud Kivu
- Beni:Safari ya Jean Pierre Lacroix katibu mkuu wa umoja wa mataifaa ajili y'amani na kiongozi ya OMS mtaani Beni katika jimbo la Nord Kivu
- Kisangani:maandamano yawana funzi ya segondari kwa kupinga atuwa ya inspekta wa tawi la Epsp Nyangara
- Kinshasa :miti zinakatiwa kwa kupanuwa barabara Lumbumba mtaani Limete , mradi ya serkali ya jimbo na ile ya taifaa.
/sites/default/files/2018-11/web-07112018-a-s-journalswahilisoir-00.mp3