- Kinshasa:Shadari Ramazani ana wajibiwa wanaomshutumia utumiaji wa vifaa ya serkali kwa utetezi ya uchaguzi ujao
- Kinshasa:Ceni ana leta mafasiria kulingana na amri ya uchaguzi kuhusu swala la shutuma kwa jina la Shadari Ramazani
- Bunia:mapambano kati ya jeshi la taifaa na watu wasiojulikna kijijini Laudjo pa usultani ya walendu Pitsi mtaani Djugu katika jimbo la Ituri
- Bunia:Jeshi la taifaa lilipiga masasi kwa kudai marupu rupu yao mtaani Djugu katika jimbo la Ituri
- Beni:Waskari jeshi wengi walihukumiwa mtaani Beni sababu ya ubakaji na wizi katika jimbo la Nord Kivu
- Kalemie:Kulianzishwa kazi za kijeshi kwa jina la Usalama jimboni Tanganyika
- Bukavu:mkongomano wa taifaa ajili ya sheria ya udongo./sites/default/files/2018-11/09112018-a-s-journalswahilisoir-00.mp3