- Kinshasa:kikao cha mabadirishano ya mafikra kati ya serkali na wanao tumika pamoja
- Beni:mulio wa risasi kwa silha mzito ulisikika tangu asubui ya leo pa Mavivi mtaani Beni katyika jimbo la Nord Kivu
- Goma:kufika kwa mfungwa Tcheka mpiganaji wa zamani kiongozi wa Nduma defense of Congo NDC pa Goma leo
- Bukavu :mji bila kazi mda ya siku mbili mtaani Fizi katika jimbo la Sud Kivu
- Bunia:Ukarabati wa barabara Bogoro-Kasenyi na pya yale Bogoro Aveba jimboni Ituri
- Lubumbashi :kurudishiwa haki kwa wafanya kazi ya serkali jimboni Haut Lomami /sites/default/files/2018-11/13112018-a-s-journalswahilisoir17h00-00.mp3