- Kinshasa:Hakuna baruwa ya kutuma muungano wa Ulaya kwa kuchunguza kazi ya uchaguzi kwandalia na Ceni
- Kisangani:Shambulio la ofisi ya generation Shadary
- Goma:mapambano kati ya waandamanaji na jeshi na wazamu wa ICCN ina sababisha kifo cha watu watatu pale Vitshumbi mtaani Rutchuru
- Kananga:Kufika kwa watalhamu wa umoja wa mataifaa mjini Knanaga katika jimbo la Kasai central
- Lubumbashi:Manuunguniko za wapiganaji wazamani walioacha silha kunako kituo cha Kamina
- Goma:Watoto wana ukuwa utapia mlo mtaani walikale
- Kinshasa:kukubaliwa kwa mradi kuelekea afya ya watu wote jana kunako baraza la bunge ya taifaa./sites/default/files/2018-11/28112018-a-s-journalswahilisoir-00.mp3