- Kinshasa:agizo kuchukuliwa na serkali kua ukingo ya uchaguzi
- Matadi:kikao cha mgombea kiti cha uraisi Felix Tshisekedi mjini Matadi katika jimbo la Kongo Central
- Kinshasa:Acaj ana tangaza matokeo kwa mda ya kampeni ya uchaguzi
- Mbandaka:Ukomvi kusababisha kufariki kwa watu kati ya makabila mbili Batende na Banunu kijijini Yumbi katika jimbo la Mai Ndombe
- Kinshasa:kuhusu wagombea kiti cha urasi wengine katika kampeni yao inchini jamuhuri ya kidemocracia ya Kongo
- Goma:kushikwa na kutiwa nguvuni kwa wakuu wawili wa FDLR katika jimbo la Nord Kivu
- Bukavu:maandamano ya wafanya kazi wazamani ya serkali ya jimbo kwa kudai malipo ya miezi mikumi humo jimbo la Sud Kivu./sites/default/files/2018-12/18122018-a-s-journalswahilisoir17h00-00.mp3