- Beni:Maandamano kaskazini mwa Beni ajili ya kuhayirishwa kwa uchaguzi na Ceni katika eneo ilo la jimbo la Nord Kivu
- Beni:Kituo cha uchunguzi wa virusi y'Ebola kilichambuliwa
- Kinshasa:Muungano Lamuka ana towa maoni yake kuhusu kuhayarishwa kwa uchaguzi na Ceni
- Goma:alikwa ya Liwali wa jimbo la Nord Kivu kwa wakaji
- Kinshasa:Maagizo kuchukuliwa ku muisho ya kikao ndogo ajili ya swala la jamuhuri ya kidemocracia ya Kongo mjini Brazzaville
- Bukavu:Jeshi la taifaa lina shika kiongozi mmoja cha raia Mutomboki
- Kinshasa:matokeo ya mvua kali ya muisho ilinyehsa mjini K/sites/default/files/2018-12/27122018-p-s-journalswahilisoir-00.mp3inshasa