- Kinshasa:kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi kwa wagombea uraissi
- Uvira:hali kudumu kusini mwa jimbo la Sud Kivu kwa kungojea itangazwe matokea ya uraisi wa uchaguzi wa tarhe makumi tatu disemba mwaka wa elfu mbili na kumi na mnane
- Kisangani:hesabu ya matokeo kwa uchaguzi wa tarhe makumi tatu disemba mwaka wa elfu mbili na kumi na mnane kama ina tambulikana jimboni la Tshopo
- Kinshasa :Mjibu wa wziri wa mahusiano inchini kuhusu masemi kuelekea mazungmzo ya raisisi Joseph kabilana kiongozi wa Udps Felix Tshisekedi
- Mbandaka :Kutiwa nguvuni kwa kiongozi wa iza ndogo pa jimbo la Equateur
- Beni:shambulizi la ngome tatu ya jeshi la taifaa na wasi wa EDF pa Maisafi katika jimbo la Nord Kivu
- Beni:Masambo ya waskari jeshi wanee mbele ya mahakama ya kijeshi mtaani Beni katika jimbo la Nord Kivu./sites/default/files/2019-01/09012019-a-s-journalswahilisoir-00.mp3