- Kinshasa:Kikako cha mashirika za umoja ya mataifaa na wapasha habari wa mji wa Kinshasa
- Kinshasa:Unicef inatowa matokeo ya miezi sita ya Ebola jimboni Ituri na pya katika jimbo la Nord Kivu
- Goma:kuridilia kesi ya Tcheka
- Lubumbashi:kufarikikwa waskari jeshi watatu sababu ya mabishano pale Kilwa
- Kananga:liwali ya jimbo la Kasai kuhusu kujisalimisha kwa wapiganaji wa zamani pale Tshikapa
- Kinshasa:Transco ,watetezi ya wafanya kazi wanaalika wafanya kazi wakomeshe mgomo wa kazi ,kesho warudilie kazi /sites/default/files/2019-01/30012019-a-s-journalswahilisoir17h00-00.mp3