- Kinshasa:ziara ya kazi ya kwanza Luanda inchini Angola ya raissi wa jamuhuri ya kidemocracia ya Kongo tangu alisimikwa kiserkali
- Beni:kwa kupiganisha ugonjwa kwa virusi y'Ebola pa Beni , watumishi ya Mungu wna tawanyika kwa kusisitiza wakaji wa eneo ilo la jimbo la Nord Kivu
- Beni:hesabu kwa sasa ya wagonjwa kwa virusi y'Ebola katika jimbo la Nord Kivu na lile la Ituri
- Goma:maandamano pa Keshero kiisha kuawa kwa msichana katika kartaa haia magaharibi mwa mji wa Goma jimboni Nord Kivu
- Kisangani:kaporal mmoja wa jeshi la taifaa ana hukumiwa kifungo cha maisha sababu ya mauawaji
- Kinshasa:baraza la bunge wasiaidizi wana daia malipo ya mishara na ya muisho ya kazi
- Kananga:Wafanya kazi kunako DGRKA wana dai walipiwe mishara yawo ya miezi za hapo nyuma./sites/default/files/2019-02/05022019-a-s-journalswahilisoir17h00-00.mp3