- Kinshasa:ziara ya kazi ya raissi wa jamuhuri ya kidemocracia ya Kongo mjini Nairobi inchini Kenya
- Kinshasa:Kikao kya kuchunguza mda ya kazikunako baraza la bunge ya taifaa
- Bunia:mazungmzo kati ya Wahema na Walendu pale Fataki mtaani Djugu katika jimbo la Ituri
- Kisangani:matokeo kwa mda ya vita kati ya jeshi la taifaa na wa LRA kishawiki immoja
- Kinshasa:Kikao kuhusu hali ya watoto katika mizozo inchini jamhuri ya kidemocracia ya Kongo
- Kinshasa:sikuu ulimwenguni bila simu ya mkono
- Kananga:shirikisho la wafanya byashara jimboni Kasai central waan omba viongozi mpya warudilie kazi ya kujenga bwawa la Katende./sites/default/files/2019-02/06022019-a-s-journalswahilisoir17h00-00.mp3