- Kinshasa:mjibu kuhusu kuachiliwa huru kwa wafungwa wa kisiasa
- Kinshasa:Maandamano ya wafanya kazi ya kampuni ya uchukuzi SCTP , Onatra ya zamani
- Kinshasa:maandam,ani ya waganga wa mahospitali ya serkali mjini Kinshasa
- Kinshasa:maandamano ya wakaji wa Yumbi jimboni Maindombe
- Uvira:Mazungmzo ya gemedari Amisi KumbaTango For na viongozi wa mkoo ya Minembwe humo jimbo la Sud Kivu
- Beni:Katibu mkuu wa muungano wa wapasha habri inchini Kongo anaalika wausika na upashaji wa habari wajitolee kwa kukomesha ugonjwa kwa virusi y'Ebola katika eneo ilo la jimbo la Nord Kivu
- Beni:Kuuunguzwa kwa kituo cha matibabu kwa ugonjwa wa Ebola pale Nziapanda -Mangurejipa,jimboni Nord Kivu
- Kinshasa:Kikao cha kiongozi wa baraza la bunge la mji jimbo la Kinshasa./sites/default/files/2019-03/14032019-a-s-journaswahilisoir-00.mp3