- Kinshasa :Nani ndie bi Jeanine Mabunda alieteuliwa mwenye kti cha bunge la taifaa leo?
- Kinshasa:Miezi mitatu ya uongozi wa raissi mpya Felix Antoine Tshisekedi Tshilombo
- Kisangani:Hotuba ya raissi kwa wakaji wa mji wa Kinsangani katika jimbo la Tshopo
- Beni:baruwa ya manuunguniko ya waganga na wa huguzi wa vituwo vya kupinga Ebola katika jimbo la Nord Kivu
- Beni:kushikwa na kutiwa nguvuni kwa wanao zaniwa kuwa viongozi wa shambulizi la kituo cha matibabu kwa Ebola kilitcho sababisha kifo cha mganga mmoja wa OMS
- Kinshasa:muisho wa kutatuwa baruwa ya mizozo kuelekea uchaguzi inchini kunako korti ya kikatiba
- Mbandaka :ukomvi wa udongo una pambanisha wakaji wa Bosonalongo na wa Bosozaya jimboni Sud Ubangi./sites/default/files/2019-04/240419-a-s-journalswahilisoir17h00-00.mp3