- Kinshasa:profesa AndréMbata ana jibu kwa masemi ya wafanya siasa ajili ya amri kusailiwa na raisi wa jamuhuri ya Kongo
- Beni:mji bila kazi kwa ombi la Lucha na watembeza pikipiki,kilio sababu ya kuuawa kwa wa raia na wa Edfhumo jimbo la Nord Kivu
- Bunia:hali mbovu ya kiutu kwa wahami wa Djugu katika jimbo la Ituri
- Goma:hali mbovu ya kiutu katika eneo la Mpati na Kivuye Nyangi pa usultani wa Bashali Mokoto mtaani Masisi katika jimbo la Nord Kivu
- Kananga:ripoti mpya ya watalhamu wa umoja wa mataifaa kuhusu ujeuri wa jimbo la Kasai
- Kinshasa:ripoti ya CNDH kuhusu mauawaji kuendeshwa pa Yumbi katika jimbo la MaiNdombe
- Kinshasa:kwanzishwa kwa kazi la shirika la Kongo lausika na umeme wa mazingira./sites/default/files/2019-06/05062019-a-s-journalswahilisoir-00.mp3