- Kinshasa:Ripoti ya Cogep ajili ya kiwanda cha madini Gecamines
- Lubumbashi:wafanya kazi makumi mawili na munane wa TFM wamefukuzwa kazini sababu ya mazaifu ya muili
- Bunia:Shambulizi la parokya Marie reine de Jiba na pya kijiji Kazba pale mtaa wa Djugu
- Bunia:kutiwa nguvuni kwa anaye zaniwa kuwa muizi wa mfuko wa mbunge bi Eve Bazaiba
- Beni:Kuachiliwa huru kwa wafanya kazi wawili kwenye shirika la kiuutu Tear fund pa Lubero katika jimbo la Nord Kivu
- Kananga:adisi ya uizi wa kiungu cha uzazi cha wna ume mjini Kananga./sites/default/files/2019-06/07062019-a-s-journalswahilisoir-00.mp3