- Bunia:hali ya vuta ni kuvute pa mji kati ya Bunia katika jimbo la Ituri.watu mbili wameuawa
- Kisangani hali ya mvutano pya mjini Kisangani katika jimbo la Tshopo
- Goma:kuhama kwa watu wengi kutoka eneo la Nyamaboko ya kwanza na ya pili
- Mbandaka:kiongozi wa baraza la bunge la Sud Ubangi ameondoshwa madarakani pya kwa uonogozo mbaya
- Kananga:Siku kuu ya kusisitiza watu kuiishi na tatizo ya ngozi ya muili ama wa kasa
- Bukavu:miaka mikumi na miwili tangu kuawa kwa Serge Maheshe mjini Bukavu katika jimbo la Sud Kivu
- Kinshasa:kufariki kwa askofu Leon Kalenga Badikebele inchini Roma mwakilishi wa Papa wa roma Francois inchini Argentine./sites/default/files/2019-06/13062019-a-s-journalswahilisoir-00.mp3