- Bunia :Shambulizi la wana mgambu pale Mambisa lilisababisha kifo cha watu saba humo jimbo la Ituri
- Beni:watu watatu waliuawa katika eneo la Eringet katika jimbo laNord Kivu
- Goma: kanda la makumi tatu la kijeshi lina omba mapatano kati ya wakaji na jeshi kua kunasa wajambaji kuwatatiza
- Bukavu:mjibu ya jumuiya ya makubaliano ajili ya mazingira
- Kinshasa:Licoco imeanzisha kampeni ya kupinga rushwa
- Kinshasa:maandamano ya wafanya kazi wa wafanya byashara wa Indopakistani
- Kinshasa:Baruwa ya Nono Lutula./sites/default/files/2019-08/05082019-a-s-journalswahilisoir-00.mp3