- Goma:Kikao cha mawaziri wa afya kutoka Rwanda na DRC ajili ya kuaanda utetezi wa pamoja kwenye OMS
- Beni:raia wawili waliuawa kwa shambulizi mpya la Edf mtaani beni katika jimbo la Nord Kivu
- Kinshasa:Hotuba ya mbunge wa taifaa Paul Muhindo
- Kananga :Msiba ya mail mtoni Lukenyi katika jimbo la Kasai imesababisha kufariki kwa watu zaidi ya kumi
- Zongo:umate wa watu umebaki bila makao kwa mvua kali iliyonyesha mjini Zongo katika jimbo la Sud Ubangi
- Bunia:Munyonyomoko wa udongo mtaani Mungwalu umesababisha kifo cha watu watano
- Matadi:mwanzo ya kazi ya ujenzi wa chumba cha kuchunga maiti kwenye hospitali kuu la seke Banza jimboni kongo Central./sites/default/files/2019-08/06082019-a-s-journalswahilisoir-00.mp3