- Kinshasa:Mgomo ya kazi wa maprofessa za chuo kikuu cha Kinshasa, maoni ya wana funzi
- Bunia:watu saba walifariki katika mapambano ya jeshi la taifaa pale Libu mtaani Djugu katika jimbo la Ituri
- Beni:Muisho ya kazi ya uchunguzi kuhusu kuuawa kwa mganga mzaliwa wa ukamerouni kwenye OMS alieuuawa mjini Butembo katika jimbo la Nord Kivu
- Beni:Raia wa sita waliuawa usiku ya jana pale Mbau katika jimbo la Nord Kivu
- Goma:Uchunguzi nguvu kwa kuvuka pale pa mpaka wa petite barriere kati ya Gisenyi na Goma sababu ya Ebola
- Kananga:wevi wa silhaa katika ukumbi wa akina dada bikira vya kikatolika kamponde jimboni Kasai central./sites/default/files/2019-08/08082019-a-s-journalswahilisoir-00.mp3