- Kananga:wawu wawili waliuuawa na manyumba makumi mawili zilichomwa kijijini Ongela mtaani Lodja katika Sankuru
- Goma:Mjibu ya wana siasa wateuliwa wa Beni wanapoiishi mjini Goma,kuhusu mauuaji mpya ya raia mtaani Beni katika jimbo la Nord Kivu
- Beni:Ujumbe ya ausika na kupiganisha janga la Ebola kwenye OMS daktari Michel Yao
- Kananga:Ugonjwa wa surua una tatiza watoto katika eneo zote za afya za jimbo la Kasai central
- Kinshasa:Mjibu wa waziri wa vyuuo vikuu kuhusu mgomo wa ma professa ya chuo kikuu cha Kinshasa
- Kinshasa:Muisho ya utangazaji wa matokeo ya mitiani ya serkali./sites/default/files/2019-08/09082019-a-s-journalswahilisoir-00.mp3