- Kinshasa:wanachama wa serikali wana saini dhamira ya kuheshimu kanuni za maadili
- Kinshasa:Ziara ya raisi ya jamhuri ya kidemocrasia ya Kongo nchini Ubelgiji
- Bunia:watu kumi na watatu waliuawa usiku ya siku ya pili hadi leo siku ya tatu na washambuliaji pale Djugu jimboni Ituri
- Kinshasa:Kiongozi wa FDLR Mudacumura aliuawa usiku ya leo na jeshi la taifaa jimboni Nord Kivu
- Bukavu:siku ya pili ya huduma chinyi katika mahospitali ya jimbo la Sud Kivu sababu ya kuawa kwa mganga Dieudonné Manenga pa Uvira
- Bunia:waziri wa afya nchini humu pamoja na David Greley juu ya changamoto ya kukomesha janga la Ebola jimboni Ituri./sites/default/files/2019-09/18092019-a-s-journalswahilisoir-00.mp3
Journal Swahili Soir
Recevez Radio Okapi par email
Donnez votre adresse email dans ce formulaire afin de recevoir tous nos articles dans votre boîte email. Vous recevrez un message de confirmation avec un lien sur lequel il vous faudra cliquer afin que l'envoi d'emails devienne effectif.
Si vous ne voyez pas l'email de confirmation dans votre boîte de réception, allez chercher dans vos spams et marquez le message comme "non spam".