Kinshasa:uharibifu wa mvua ilionyesha asubhui ya leo mjini Kinshasa
Goma:Hali ya kibinadamu ni mbovu huko Mwesso katika jimbo la Nord Kivu
Bunia:Wagonjwa zaidi kumi na nee waliopona wa Ebola wanaondoka katika kituo cha matibabu humo jimbo la Ituri
Butembo:kupunguka kwa kesi ya Ebolakatika eneo ilo la jibmo la Nord Kivu
Matadi:Vipimo vya kesi ya surua katika maeneo saba ya afya kati ya maeneo makumi matatu na moja ya jimbo la Kongo central
Lubumbashi:Wafanya biashara wa sekta ya madini wana lalamika upotezaji kwa sababu wa umeme
Lubbumbashi:Solomon Kalonda wa chama cha PND akisalimia pasipoti yake humo jimbo la haut Katanga./sites/default/files/2019-10/09102019-a-s-journalswahilisoir17h00-00.mp3