- Kinshasa:Kupotea kwa Cargo Antonovo 72 kutoka kwa rais
- Kinshasa:Tukio la UDPS
- Lubumbashi:mapambano kati ya FARDC na wanamgambo huko Rwashi katika jimbo la haut Katanga
- Goma:zaidi ya kaya elfutatu za wahami wanaiishi pa Nabyondo bila msaada wa kiutu katika jibmo la Nord Kivu
- Goma:Watu makumi tano na tisa walitekwa nyara tangu miezi miwili ana shutumu mbunge wa eneo la uchaguzi la Rutchuru
- Kinshasa:Hali ya madaraka ni jee badaa ya miaka mikumi ya kuzinduliwa
- Kisangani:Hotuba ya Jean Pierre Bemba mjini Kisangani katika jimbo la Tshopo./sites/default/files/2019-10/11102019-a-s-journalswahilisoir17h00-00.mp3