- Kinshasa:kufuatia ajali ya njia ya pale Mbanza -Ngungu katika jimbo la Kongo Central ambayo ilisababisha kifo cha watu makumi matatu
- Kananga:Kuluungula kwa zaidi ya nyumba mia mbili na vijana .Vijana watatu wametiwa nguvuni
- Beni:Kamati ya Ebola inazingatia Mashtaka juu ya timu za majibu
- Goma:Kumeandiliwa mkutano wa kimataifaa mjini Goma , nchi kumi za kiafrica juu ya kuratibu majibu ya Ebola
- Bukavu:Mgomo unaanza baada ya wiki mbili za kusimamishwa na walimu humo jimbo la Sud Kivu
- Kinshasa:Maandamano ya CLC./sites/default/files/2019-10/21102019-a-s-journalswahilisoir-00.mp3