- Matadi:uchunguzi wa baruwa ingine ya hoja zidhi ya liwali Atou Matubwana wa humo jimbo la Kongo Central
- Kinshasa:mawaziri wawili walialikwa ajili ya hali ya usalama ndogo kutambulikana mashariki mwa nchi
- Beni:watu wanee wameuawa pale Pululu mtaani Beni katika jimbo la Nord Kivu
- Beni:Hotuba ya viongozi wa dini kuhusu swala la usalma ndogo katika eneo la Beni humo jimbo la Nord Kivu
- Goma:Mazungmzo ya kijamii kati ya gavana wa jimbo la Nord Kivu na vijana kuhusu maandamano hutambulikana humo jimbo la Nord Kivu
- Bunia:DAvid Gresley ametangaza kupanuliwa kwa timu za majibu kwa virusi vya Ebola pa Biakato humo jimbo la Ituri
- Kinshasa:Agizo ya wizara ya sikutoa vibali vya ujenzi kwenye tovuti ziso jengwa na pya na fasi zinazosumbuwa wakaji humu nchini jamhuri ya kidemocrasia ya Kongo./sites/default/files/2019-12/04122019-a-s-journalswahilisoir-00.mp3