- Kinshasa:Waziri wa ulinzi kuhusu kushiriki kwa wazaliwa wa Kongo wamoja katika fujo endelevu ya pale Beni katika jimbo la Nord Kivu
- Kinshasa:Majibu ya wabunge dhidi ya hotuba ya mawaziri jana siku ya tatu kuhusu tatizo la huko Beni
- Bukavu:Liwali wa jimbo la Sud Kivu anaalika wakaji chinyi yauongozi wake wawe tulivu
- Matadi:Kuhusu hali yenye kutambulikana kunako baraza la bunge la jimbo la Kongo Central
- Bunia:kazi za matibabu kwa wagonjwa wa Ebola imerudi tena pa Biakato mtaani Mambassa katika jimbo la Ituri
- Goma:Kiongozi ausika na majibu kwa Ebola kunako OMS ana tangaza matokeo ya Ebola kwa siku ya leo humo jimbo la Nord Kivu./sites/default/files/2019-12/05122019-a-s-journalswahilisoir-00.mp3