- Kinshasa:baraza la jumuiya ya Ulaya liliamuwa leo kudumisha hatua za kibinafisi dhidi ya watu wamoja nchini jamhuri ya kidemocrasia ya Kongo
- Kinshasa:Kikao na wapasha habari cha shirikisho cha 'le Congo n'est pas à vendre'
- Beni:Hotuba ya generali Leon Richard Kasonga
- Kalemie:Baraza la baina ya ushirikiano lina towa muito kwa jamii zote za jimbo la Tanganyika
- Bukavu:askari polisi mmoja amejiuawa humo jimbo la Sud Kivu
- Matadi:Hekta elfu moja ya mazao chini ya maji katika jimbo la Kongo Central
- Goma:kampeni ya chanzo dhidi ya Ebola kati ya Rwanda na jamuhuri ya Kongo ./sites/default/files/2019-12/09122019-a-s-journalswahilisoir-00.mp3