- Kinshasa:Raissi wa jamhuri FelixAntoine Tshisekedi Tshilombo ametoka kuzinduwa rasmi kiwanda mpya cha maji safi cha Regideso mjini Kinshasa
- Kinshasa:Kikao cha kwanza cha Adolphe Muzitu Mratibu wa umoja wa Lamuka
- Beni:wassi makumi matatu na saba ya EDF waliwasilishwa kwa waandishi wa habari wa Beni
- Matadi:Hotuba ya meya wa mji wa Matadi kwenye wamakala wa PCR kuhusu usalama ya wakaji na mali yao
- Kalemie:Ziara ya waziri wa miundombinu ya jimbo la Tanganyika kuhusu daraja la Lualaba
- Butembo:hali kutambulikana katika soko ya Butembo siku moja mbele ya kusherekea Chrismas
- Kinshasa:Uchafu ni shida katika maeneo zimoja za mji wa Kinshasa./sites/default/files/2019-12/23122019-a-s-journalswahilisoir-00.mp3