- Beni:jeshi la taifaa linatangaza atuwa kadhaa ajili ya usalama ya maeneo alizoziokowa humo jimbo la Nord Kivu
- Goma:Baraza la kijamii la humo jimbo la Nord Kivu lina omba kwandaliwa mara tena kikao ajili y'amani ya eneo la Beni kwa kipekee na la jimbo mzima kwa jumla
- Kalemie:kupewo vyeti kwa wassi wa zamani elfu moja wa Twa na Elements pale Lyoni jimboni Tanganyika
- Kisangani:Mashuwa imoja ilizama ndani ya jito Kongo katika eneo la jimbo la Tshopo
- MbujMay:Bey ya mahindi imepuunguka katika masoko za jimbo la Kasai Oriental
- Kinshasa:Kuhusu sherhee ya muisho wa mwaka , hali gani kutambulikana katika vyumba vya baridi./sites/default/files/2019-12/24122019-a-s-journalswahilisoir-00.mp3