- Bukavu:msemaji wa shirikisho la watetezi wa walimu wa shule za kidini anatangaza kusito rudilia masomo katika mashule za usika mnamo tarhe sita januari katika jimbo la Sud KivuAlikwa la musa
- Kinshasa:Tangazo la kiuchungaji la mwaka mpya cha mchungaji Bokundoa wa Ecc mjini Kinshasa
- Beni,mafarakano kati ya maafisa mawili ikasababisha kufariki kwa mtu mmoja pa Mai Moya mtaani beni katika jimbo la Nord Kivu
- Goma:Korti kuu ya mahakama ina hukumu waliechoma moto makaoni pa Goma na kusababisha kifo cha mtu mmoja
- Butembo:Alikwa la msanii musika bi Voldie Mapenzi ajili ya kuzuka mara tena kwa Ebola mtaani Beni katika jimbo la Nord Kivu
- Kinshasa:Baruwa ya waziri mkuu kwa maliwali na viongozi wa majimbo manne za jamhuri ya kongo Ituri,Sankuru ,Haut Lomami na Kongo Central./sites/default/files/2020-01/02012020-a-t-journatshilubasoirl-00.mp3