- Bunia:Watu 23 wameuawa badaa ya shambulio la wa ADF pa Mandumbi katika jimbo la Ituri
- Beni:Kamanda wa vikosi vya Monusco pamoja na kamanda wa eneo la tatu la ulinzi wa FARDC
- Kinshasa:Waziriwa mkuu wa Ubelgiji ana ngojewa jioni ya leo siku ya tatu mjini Kinshasa.
- Kinshasa:Matembezi ya wachaguliwa wa mji wa Kinshasa kwenye mabarabara za mji mkuu wa Jamhuri ya Kongo ya Kidemocrasia
- Kinshasa:matembezi kwa njia ya pikpiki , ni mjibu ama shida ingine huletwa na uchukuzi wa watu wote
- Kinshasa:Kufungwa kwa vilago vya pombe vimoja vimoja mtaani lemba sababu ya kelele nyingi hapa mji wa Kinshasa./sites/default/files/2020-02/05022020-s-s-journalswahilisoir17h00-00.mp3