- Kinshasa:ufunguzi ya mahakama juu ya utekelezaji wa kazi za Sauts -de-mouton na makazi ya kijamii
- Bukavu:Uharibifu mono wa barabara ya taifaa ,hali mbovu kutambulinakana mtaani mwenga katika jimbo la Sud Kivu
- Bunia:vijiji kumi na saba vya mtaa wa Mambassa vi ebaki bila wakaji humo jimbo la Ituri
- Lubumbashi:Makartaa zimoja za mji wa Kasumbalesa zimebaki bila wakaji sababu ya usalama ndogo ya humo jimbo la haut Katanga
- Kananga:Ziara ya mwakilishi wa Monusco jimboni Kasai central tangu asubui ya leo
- Lubumbashi:Majibu ya waziri wa afya jimboni kuhusu ugonjwa wa corona virusi
- Kinshasa:Mjibu wa waziri wa afya kuhusu hatari ya bidhaa ya kuangarisha ngozi./sites/default/files/2020-02/10022020-a-s-journalswahilisoir-00.mp3