- Bunia:Kundi la wanamgambo wa CODECO wametuma wakaji wa Utcha wanaanza kulala porini katika usultani ya Bahema Nord jimboni Ituri
- Goma :Mapambano kati ya wanamgambo wa NDC/Renové na APCLS ajiliya ongozo wa Nyabiondo na kando kando lake humo jimbo la Nord Kivu
- Beni:Siku kumi na tau bila kurikodi kesi mpya ya ugonjwa wa virusi vya Ebola huko Beni katika jimbo la Nord Kivu
- Kinshasa:Kuandaliwa kwa vitambulisho vya kweli vya biometriska ya waalimu moja ya mapendekezo ya muungano wa watetezi mjini Kinshasa
- Kinshasa:Kartaa nyingi za mji jimbo ya Kinshasa zimeiishi katika giza siku hizi
- Kinshasa:Mjibu wa ausika na ugawanyaji wa umeme kwenye SNEL katika mji jimbo la Kinshasa./sites/default/files/2020-03/05032020-s-f-journalswahilisoir17h00-00.mp3