- Kinshasa:Dkt Muyembe Tamfum akifasiria kuhusu masa makumi manne na mnane kwa kutangaza mwisho ya jana kwa virusi vya Ebola nchini Kongo ya Kidemocrasia
- Kinshasa:Waziri wa afya nchini ana leta mafasiro kuhusu janga la Coronavirus na atuwa zenye zime kamatwa na serikali ya nchi
- Bunia:Wakaji wana hama eneo la Biakato kwa shambulio la wana odhaniwa wa ADF
- Beni:jeshi la taifaa lina kataza wakaji kurejea vijijini kando la barabara Mbau -Kamango katika jimbo la Nord Kivu
- Kalemie:Kuhundwa kwa eneo la pili la ulinzi pa Nyunzu ajili ya usalama ya wakaji wa eneo ilo la jimbo la Tanganyika
- Kinshasa:Monusco ana leta mafasirio kuhusu msaada wake ajili ya uchunguzi ya kufariki kwa jenerali Delphin Kahimbi
- Bukavu:mgomo tangu asubhi ya leo ya watumiaji wa ziwa Kivu sababu ya kuongezeka kwa ushuru humu jimbo la Sud Kivu./sites/default/files/2020-03/09032020-a-s-journalswahilisoir-00.mp3