- Kinshasa:Kesi ya kwanza ya coronavirusi nchini Kongo ya Kidemocrasia
- Kinshasa:Kinyume ya coronavirusi kwa wafanya byashara mjini Kinshasa
- Beni:Kuondoka kwenye kituo cha afya cha wagonjwa kumi namoja huko Beni katika jimbo la Nord Kivu
- Kinshasa:Sherhee ya heshima HONORIS CAUSA kwa daktari Denis Mukwege
- Lubumbashi:Gavana ya Haut Katangaanaalika wakaji wa eneo chinyi ya uongozi wake waiishi katika umoja na amani kwa maendeleo ya jimbo ilo
- Butembo:Shambulio la Kirumba na kuonekana kwa wa ADF katika eneo ilo la jimbo la Nord Kivu
- Beni:Walimu wa Eringeti wana omba wana funzi wafwatiliwe kisaikolojia sababu ya hali mbovu ya maisha ya wazazi kufwatana na mavita ya mara na mara /sites/default/files/2020-03/10032020-a-s-journalswahilisoir-00.mp3