- Kinshasa:Waziri wa afya nchini ana sisistiza wakaji kuhusu ugonjwa wa Coronavirusi
- Bandundu:Muuguzi mkuu wa kituo cha afya cha Dima Lumbu katika jimbo la Kwilu ana shutumu uupuzi wa wazazi kuwa chanzo ya kufariki kwa watoto wengi katika eneo ilo la nchi
- Beni:watu kumi na tisa walikamatwa mateka na wasi porini kumepita siku tano humo jimbo la Nord Kivu
- Beni:Ushirikiano ya FARDC na Monusco una saidia FARDC kutambua ngome za wasi wa ADF humo jimbo la Nord Kivu
- Lubumbashi:Zaidi ya wana wake elfu moja na mia tatu walikamatwa kwa kinguvu humo jimbo la Haut Katanga mda wa mwaka mmoja
- Kisangani:Yowe ya Liwali wa jimbo la Tshopo kuhusu ugawanyaji wa umeme mjini Kisangani./sites/default/files/2020-03/12032020-a-s-journalswahilisoir-00.mp3