Journal swahili soir

  • Beni:chanzo mpya ya ugonjwa kwa virusi y'Ebola katika kartaa Ndindi jimboni Nord Kivu
  • Bunia:hakuna kurudia shuleni katika eneo la Mambasaa sabau ya ugonjwa kwa virusi y'Ebola
  • Lubumbashi:Hakuna kufunguliwa kwa masomo pa Malemba Nkulu sababu ya kutanga tanga kwa tembo.
  • Kananga:walimu wana dai malipo yawo pale Lwebo jimboni kasai  centrale
  • Goma.mapambano kati ya jeshi la taifaa na mai mai Nyatura pa Rugari katika jimbo la Nord Kivu
  • Bukavu:Denis Mukwege ana towa ongero kwa sheria  la jeshi la taifaa idadi ya wabakaji imeshuka
  • Kinshasa: kikao cha mashirika za umoja wa mataifaa leo kilizungmuzia swala kuhusu kuuawa kwa watalahamu  wa umoja wa mataifaa jimboni kasai mwaka jana 
  • Kinshasa :swala mbili kubwa za kinyume ya katiba huenda kufikishwa kunako korti ya kikatiba
  • Mbuji-Mayi:Kikao ajili ya maendeleo za majimbo tano zilizo tatizwa na waasi w/sites/default/files/2018-09/05092018-a-s-journalswahilisoir-00.mp3a kamuina Nsapu