Hali ya usalama katika mtaa wa MASISI jimboni Kivu ya Kaskazini, uwingi wa nyumba za kuuzisha madawa ambazo hazishike kanuni za serkali mjini Kananga na pia swali kuhusu maji safi :Hayo ndio maoni huru yaliyochaguliwa na walikwa wa leo mangaribi.

Fichier audio : téléchargez Flash pour écouter.

Waalikwa :rn-Salomon TAMBU mwanamemba wa chama cha siasa « Front Patriotique » na msimamizi wa upinzani ;rn-Dr Christian NGANDU mshauri kwa uwaziri unaousika na afya jimboniu Kasai Occidental na msimamizi wa kundi la uwingi lenyi kuwa madarakani ;rn-Alexis MUKANYA présidenti wa shirika la rahiya jimboni Kasaï Occidental.