Uongozo wa majimbo : madaraka ya viongozi vipya vya maeneo yenyi kuwa na uongozi wao ni gani

Fichier audio : téléchargez Flash pour écouter.

Waalikwa :rn-MOLISO NENDOLO mwanabunge la taifa, mwanamemba wa chama cha siasa Forces du futur na ni msimamizi wa upinzani ;rn-Jacques BAKAMBE, mwanabunge la taifa, ni mwanamemba wa chama cha siasa CDD na ni msimamizi wa kundi lenyi kuwa madarakani ;rn-Naupess KIBISWA mwanamemba wa shirika la rahiya COSEP na ni msimamizi wa shirika la rahiya.