Kisha ku endeshwa kwa kikao kikuu kwaajili yaku leta matengenezo katika secta ya michezo inchini Kongo ina bidi hao apana kuwa na matumaini kama mambo yata tengenezwa sasa katika secta iyo ?

Fichier audio : téléchargez Flash pour écouter.

Waalikwa:

- Hubert MOLISO : Mwanabunge wa taifa na piya mwanamemba wa muungano wa rn wanambunge wa upinzani GPCD ama mu kifaransa : Groupe parlementaire des Chrétiens rn Démocratesrn- KYUNGU SILIMU: Anaye husika na upashaji wa habari katika offisi ya waziri wa michezo rn na vijana. Na ni piya mwakilishi wa pande lenye ku ongoza wakati huu.
- Mme Mike TSHIFUNTSHI : Mwanamemba wa Commité Olympique inchini Kongo na ni piya mwakilishi wa shirika la raiya.