Wanaweza kusema kama ukosefu wa vyakula unapatikana katika jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo, ao tuu ni beyi ya vyakula ndio inapanda juu

Fichier audio : téléchargez Flash pour écouter.

Waalikwa wa leo mangaribi ni-

-Wildor Makonero , mwanabunge la taifa, ni pia mwanamemba wa chama cha siasa PPRD,

-Edmondus Kasereka Vutuku , mwanabunge la taifa ni pia mwanamemba wa chama cha siasa MSR, na mwanamemba wa komisheni ya uchumi na pesa ;

-Clément Mwela , mwanamemba wa shirika la rahiya, La Solidarité paysanne ,ni msimamizi wa shirika la rahiya.