Journal de Lundi Soir 020326

Habari za mangaribi ya siku ya kwanza tarehe 020326

  • Jeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ( FARDC ) ,  ime tangaza kuwa,  ime ichukuwa  tena mji wa Mikenge , mikononi mwa  waasi wa AFC/M23,  katika eneo la Fizi, Jimbo la Kivu Kusini
  • Kivu Kaskazini,  wawakilishi  zaïdi ya makumi mbili wa jamii zinazoishi kando ya Ziwa Kivu,  wana omba Ku tshunguzwa,  kwa athari za kimazingira na kijamii , kabla ya uchimbaji  wa gaz methane , katika mtaa wa Makelele. 
  • Mkoa wa Lubao, ulioko zaidi ya kilomita mia mbili  kutoka Kabinda, mji mkuu wa jimbo la Lomami, kwa sasa una usambazaji wa umeme kama kawaïda .
  • /sites/default/files/2026-03/02032026-jounal-swahili-lundisoir-web.mp3