Habari za siku ya tano mangaribi 060326
- Kundi la Kimataifa, la Mawasiliano la Ukanda wa Maziwa Makuu, lina onyesha wasiwasi mkubwa kuhusu kuzorota kwa hali ya usalama, mashariki mwa Kongo.
- Mzozo , Kati Ya Marekani na Israel zidi ya Iran, tayari umeanza kuwa na matokeo mabaya kwa wahamiaji, kati ya Kinshasa na Dubai.
- Jimboni Kivu Kaskazini, vyama vya wanawake huko Beni, vinatoa wito kwa Uingereza , kuji husisha zaidi , katika mageuzi ,ya sekta ya usalama na mapambano zidi ya ADF injini KONGO .
- /sites/default/files/2026-03/060326-journalswahili-web.mp3







